Kwa mujibu wa katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa wavu la Rwanda (FERWAHAND) Jean Paul Ngarambe amesema timu zinatakiwa kujisajili hadi Oktoba 28 kwa ajili ya mashindano hayo.
Mashindano hayo yamepagwa katika makundi matatu, kundi la kwanza ni la vijana, la pili ni watu wazima na la tatu ni wakongwe.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |