• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Pato la taifa la China laongezeka kwa asilimia 6.7 katika robo tatu za mwanzo za mwaka huu

    (GMT+08:00) 2018-10-19 10:20:46

    Pato la taifa la China GDP liliongezeka kwa asilimia 6.7 katika robo tatu za mwanzo za mwaka 2018 na kufikia dola za kimarekani trilioni 9.38.

    Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Idara ya Takwimu ya Taifa NBS, katika robo ya tatu ya mwaka huu, pato la taifa la China liliongezeka kwa asilimia 6.5, chini ya asilimia 6.7 ya robo ya pili, na asilimia 6.8 ya robo ya kwanza ya mwaka huu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako