Timu ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefanikiwa kuingia fainali ya kombe la shirikisho Afrika baada ya ushindi wa magoli 4-0 dhidi ya Al Masry ya Misri jana uwanja wa Mastyrs de la Pentecoste mjini Kinshasa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |