• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Sudan: Serikali ya Sudan yatangaza mpango wa miezi 15 wa kukata gharama zake

    (GMT+08:00) 2018-10-29 20:33:41
    Serikali ya Sudan imetangaza mpango wa miezi 15 wa kukata gharama zake katika juhudi za kufufua uchumi unaodidimia.

    Waziri mkuu wa Sudan Moataz Moussa ametangaza kwenye bunge la nchi hiyo kwamba serikali pia itachukua hatua zaidi za dharura kuokoa uchumi. Baadhi ya hatua hizo ni pamoja na kuanza kutoza ushuru bidhaa ambazo awali hazikutozwa ushuru au zilizotwa ushuru wa chini.

    Uchumi wa Sudan umekuwa na ukuaji wa polepole tangu Sudan Kusini ijitenge mwaka 2011 huku raslimali nyingi ya mafuta ikiwa kwenye eneo hilo la Sudan Kusuni.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako