Timu ya taifa ya wanawake ya Ghana Black Queens imekubali mwaliko wa kucheza mechi ya kirafiki ikiwa ni siku chache baada ya timu ya taifa ya wanawake ya Uganda (Crested Cranes) kukubali ombi la kukipiga na Starlets.
Ghana itasafiri hadi Nairobi na kuumana na Kenya Novemba 7 katika uwanja wa Kasarani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |