Kuelekea uchaguzi mkuu wa Simba Sports Club
(GMT+08:00) 2018-10-30 08:55:04
Kuelekea katika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba ya Dar es salaam, utakaofanyika Novemba 4, CRI imezungumza na Iddi Kajuna Kaimu makamu wa rais wa klabu ya simba ya Dar es salaam, haya ndio maoni yake