Timu ya taifa ya Rwanda chini ya miaka 23 imeanza maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Afrika dhidi ya DRC mchezo utakaopigwa Novemba 14 utakaochzewa katika uga wa Umuganda mjini Rubavu na kurudiana Novemba 21 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |