Vijana hao ambao ni wa kutoka timu moja ya vijana nchini Thailand waliokolewa kwa pamoja mwezi Julai baada ya kukwama kwa takribani wiki mbili katika pango lililojaa maji.
Tukio hilo liliteka hisia za watu wengi sehemu mbalimbali duniani na kupelekea makamu mwenyekiti mtendaji wa klabu ya Manchester United, Ed Woodward kuwaalika kuhudhuria katika moja ya mchezo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |