IFAD inasema asilimia 43 ya watoto nchini Msumbiji wana utapiamlo na katika jimbo hili la Cado Delgado hali ni mbaya zaidi kwa kuwa kiwango cha utapiamlo miongoni mwa watoto ni asilimia 53.
Baada ya mafunzo wanayopatiwa shambani kuhusu ukulima bora, wakulima hao vile vile wakiwa kwenye vikundi wanafundishwa jinsi ya kuandaa chakula bora.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |