Uamuzi huo wa mabadiliko utawalazimisha Qatar kushirikiana nan chi jirani katika kuandaa fainali za kombe la dunia mwaka 2022.
Uamuzi huo awali ulitolewa kwa mashindano ya 2026 yatakayofanika katika nchi tatu Marekani, Canada na Mexico lakini Infantino anataka kufanya hivyo kwa fainali hizo za mwaka 2022.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |