Gor Mahia ni mabingwa wa kombe la SportPesa walipata nafasi hiyo ya kuwakabili Everton baada ya kuwafunga mabingwa wa Tanzania bara Simba SC kwa jumla ya magoli 2-1 kwenye mchezo wa fainali ya michuano hiyo iliyopigwa Juni 10 mwaka huu nchini Kenya.
Mechi hiyo ya kirafiki itapigwa kesho Jumanne.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |