Keitany ametumia muda wa saa 2:22:48 huku akiandika muda bora katika historia ya mashindano hayo, nafasi ya pili imechukuliwa na Vivian nay a tatu imeenda kwa mmarekani Shalane Flanagan.
Katika hali isiyotarajiwa na wengi, bingwa mtetezi toka Kenya Geoffrey Kamworor amejikuta ameshindwa kutamba mbele ya Waethiopia Lelisa Desisa na Tola Shura. Pia mwanariadha wa Tanzania Alphonce Simbu nae hakufua dafu kwenye mbio hizo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |