Kamati hiyo imesema kigezo kikuu kitakachotumika kuchagua washiriki wa tuzo ni kiwango cha muhusika kuanzia mwezi Februari 2018 hadi Novemba 2018. Kigezo hiki hakijamtenga sana nyota huyo wa KRC Genk, kutokana na kuonesha kiwango bora katika kipindi hicho kilichotajwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |