• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • CAF yaweka hadharani vigezo vya wachezaji watakaochaguliwa kuwania tuzo

    (GMT+08:00) 2018-11-06 09:51:58
    Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) kupitia kamati yake inayoshughulika na kuandaa Tuzo za CAF 2018, imeweka wazi vigezo vya wachezaji watakaochaguliwa kuwania tuzo mbalimbali mwaka huu huku moja ya vigezo vikonekana kumpa nafasi nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta.

    Kamati hiyo imesema kigezo kikuu kitakachotumika kuchagua washiriki wa tuzo ni kiwango cha muhusika kuanzia mwezi Februari 2018 hadi Novemba 2018. Kigezo hiki hakijamtenga sana nyota huyo wa KRC Genk, kutokana na kuonesha kiwango bora katika kipindi hicho kilichotajwa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako