Lakers walikuwa wa kwanza kutwaa ubingwa upande wa wasichana baada ya kuifunga Tusiime Bulls kwa pointi 16-1. Rising Star Warriors ilitwaa ubingwa kwa kuifunga Tusiime kwa pointi 26-14 kwenye fainali za vijana chini ya miaka 16 kwa wasichana.
Fainali ya tatu ya ligi ya vijana ambayo pia inachezwa kwenye nchi zingine 13 barani Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |