Habari zinaeleza kuwa klabu za Morocco zilitaka kuleta sintofahamu juu ya namna droo hiyo itakavyokuwa kwa kuruhusu klabu zake kushiriki katika michuano hiyo huku kanuni za CAF haziruhusu klabu tatu toka nchi moja kushiriki katika mashindano ya kuwania taji moja.
Mashindano yam waka huu yanatarajiwa kuanza Novemba 27 na kumalizika Juni 1, 2019.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |