Sekta ya ndege za umma nchini China imedumisha maendeleo ya kasi katika miaka ya hivi karibuni. Kwa mujibu wa waraka uliotolewa jana na serikali, idadi ya ndege za umma nchini China itazidi 20,000 hadi kufikia mwaka 2035. Kutokana na maendeleo ya kasi ya sekta hiyo, thamani ya soko la shughuli husika itafikia dola bilioni 153.8 za kimarekani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |