• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kampuni ya Hariri ya China kuwekeza nchini Kenya,kutoa ajira 300,000

    (GMT+08:00) 2018-11-07 18:48:36
    Kampuni kubwa zaidi ya utengenezaji Hariri ya Guangdong Silk-Tex Group, imeonyesha nia ya kuwekeza nchini Kenya.

    Maafisa wakuu wa kampuni ya Guangdong Silk-Tex Group walikutana na Rais Uhuru Kenyatta jijini Shanghai,China,wakati wa maonyesho ya kibiashara jijini Shanghai.

    Kampuni hiyo imepanga kuanzisha shughuli zake eneo la Athi River,na kuanzisha shamba la kukuza hariri.

    Kulingana na taarifa kutoka Ikulu ya Rais,shamba hilo litakuwa la ekari 8,237 na kubuni nafasi 300,000 za kazi kwa wakenya.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako