Waamuzi hao ni mwamuzi wa kati Ali Ramadhan Ibada (kibo) na Mwamuzi msaidizi Mustafa Hasira wamefungiwa baada ya kushindwa kuzitafsiri vyema sheria 17 za Soka hususan sheria namba 11 ya mpira wa kuotea (Offside) katika mchezo uliochezwa juzi uwanja wa Amani ambapo Jang'ombe Boys wakatoka sare ya 1-1 dhidi ya KMKM.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |