Taarifa ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) imesema, Okwi amekuwa mchezaji bora kwa kuwashinda wachezaji wengine waliokuwa wakigombea tuzo hiyo Elius Ambokile wa Mbeya City na Yahya Zayed wa Azam fc.
Nafasi ya kocha bora imekwenda kwa Hans Pluijm wa Azam fc ambaye amewashinda makocha wakuu wenzake Mbelgiji Patrick Aussems wa Simba na Ramadhan Nsazwarimo wa Mbeya City.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |