Shirikisho hilo linaloongoza soka barani Ulaya lilisema mnamo Septemba kuwa VAR itaanzishwa kuanzia msimu wa 2019/20, lakini majadiliano yameendelea kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, na kuonyesha nia ya kutambulishwa haraka zaidi mfumo huo tofauti na ilivyotegemewa.
hofu ya UEFA kutokana na makosa ya waamuzi katika michezo mbalimbali na mafanikio ya VAR katika Kombe la Dunia mwaka huu, ni moja ya vishawishi vikubwa kwa viongozi hao kufikiria upya suala la kutambulisha teknolojia hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |