Mayweather ameyasema hayo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram.
Bingwa huyo mwenye umri wa miaka 41, ambaye inasemekana alikuwa akitarajiwa kupigana na Tenshin mwenye umri wa miaka 20 Desemba 31 mwaka huu jijini Tokyo amekanusha habari hizo na kusema hakuwahi kuwa na makubaliano na mwanamasumbwi huyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |