Promota wa mchezo wa ngumi Tanzania aliyekuwa ameambatana na Idd Mkwera anayejulikana kwa jina la Jay Msangi, ameeleza hujuma zilizofanyika dhidi ya bondia wake ni pamoja na kupigwa ngumi sehemu za siri lakini muamuzi hakutilia maneno, kisheria mchezo wa ngumi hauruhusu kumpiga bondia kichogoni na sehemeu za siri pia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |