Mbio hizo za kilomita 21 zilishirikisha wanariadha toka Tanzania, Kenya na Norway, Giniki aliibuka mbabe kwa kutumia saa 1:05:33 baada ya kuwaacha mbali wapinzani wake.
Paul Panga alikamata nafasi ya pili na nafasi ya tatu imeshikiliwa na Mkenya Abraham Too, mkenya mwingine Noah Kemei alimaliza akiwa wa nne
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |