• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Manchester Dabi: Man City yamaliza ubishi, yaitandika Man U 3-1

    (GMT+08:00) 2018-11-12 09:09:45
    Manchester United imechapwa na watani wao Manchester City kwenye mchezo wa ligi kuu ya Uingereza (EPL) mabao 3-1. Man City inaendelea kuongoza msimamo ligi hiyo ikiwa na alama 32 huku Man United ikiwa nafasi ya 8 na alama 20.

    Matokeo ya mechi zingine, Chelsea fc aka the blues wamelazimishwa sare ya 0-0 na Everton, huku Liverpool ikiifumua Fulham mabao 2-0, nao Arsenal aka the gunners wamekubali sare ya 1-1 toka kwa Wolverhampton

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako