Mchezo baina ya Timu hizo utachezwa Novemba 18 uwanja wa Huye mjini Kigali huku Rwanda ikiwa haina matumaini yoyote ya kufuzu fainali baada ya kufanya vibaya katika mechi zake nne za kwanza katika Kundi H.
Mashami amesema uamuzi wake unalenga kutoa nafasi kwa wachezaji vijana kutoa mchango wao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |