Meneja mradi Ramadhani Joel alisema juzi mjini hapa kuwa lengo ni wakulima husa vijana kufanya biashara katika mazingira mazuri.
Awali, mtaalamu wa sera wa LIC, Peter Elias, alisema wamepata shida kujua takwimu za mazao lakini baada ya mfumo huo itakuwa rahisi kuzipata.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |