Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake wilayani Nachingwea Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Lindi, Majid Lupanda, amesema hatua iliyochukuliwa na Rais ni hatua ya kishujaa sana na imeonyesha wazi kuwa ni moja ya mfulululizo wa matendo ya kishujaa yanayofanywa na Rais kwa masla mapana ya taifa na si maslahi binafsi
Jana, Rais John Magufuli alitangaza kusitisha ununuzi wa korosho kwa wafanyabiashara ambapo serikali imezinunua korosho hizo zote kwa bei ya kuanzia Sh 3,002 hadi 3,016 kuanzia leo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |