Katibu mkuu wa CECAFA Nicholas Musonye amesema wameshindwa kupata nchi iliyokuwa tayari kuwa mwenyeji wa fainali hizo baada ya Kenya kujitoa na shirikisho la soka la Kenya (FKF) kutangaza kuwa na uhaba wa fedha na kuwa mwenyeji.
Musonye amethibitisha kuwa Uganda watakuwa wenyeji wa mashindano ya Chalenji CECAFA U-20 yatakayoanza desemba 15 hadi 23.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |