Kwa mujibu wa shirikisho la mchezo wa tenisi la Rwanda (RTTF), kupitia kwa katibu mkuu wake bwana Innocent Bahati amezitaja nchi zitakazoshiriki mashindano hayo ni Tanzania, Uganda, Kenya, Mautius, Djibouti, Somalia na wenyeji Rwanda.
Huku wakisubiri timu kutoka Comoro, Madagascar, Eritrea, Ethiopia, Sudan na Sudan kusini kuthibitisha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |