Nayo timu ya taifa ya vijana ya Tanzania (Ngorongoro Heroes) imeanza vibaya kusaka tiketi ya kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika (AFCON U23) kwa kukubali kichapo toka kwa Burundi kwa magoli 2-0 mchezo uliopigwa jana mjini Bujumbura.
Michezo hii ya kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika (AFCON U23) itatumika kwa ajili ya kuwapata wawakilishi wa Afrika katika mashindano ya Olympic yatakayofanyika Japan mwaka 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |