SOKA: Viongozi wakuu Yanga wafungiwa na TFF kwakupinga uchaguzi
(GMT+08:00) 2018-11-15 08:36:05
Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) kupitia kamati ya maadili, limewafungia mwenyekiti wa matawi wa klabu ya Yanga, Bakili Makele na katibu wa matawi wa klabu hiyo Boaz Ikupilika kutojihusisha na soka kwa kipindi cha miaka mitatu kwa kukaidi maamuzi ya serikali na shirikisho