Kulingana na gazeti la michezo la Mirror, Klabu ya Fulham ilihitaji huduma za Wenger walipokuwa wakimtafuta kocha ila akakataa na ikabidi wameze machungu na kumkumbatia Ranieri.baada ya kumfuta kocha wao wa zamani Slavisa Jokanovic.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |