Rais Donald Trump wa Marekani kupitia ukusara wake wa Twitter ameikosoa timu ya mchunguzi maalumu Bw. Robert Mueller kwa "kuwatishia" watu ili watoe ushirikiano kwenye uchunguzi dhidi ya tuhuma za Russia kuingilia kati uchaguzi mkuu wa Marekani uliofanyika mwaka 2016. Amesema "shughuli za uchunguzi za Mueller ni za ovyo, hawajapata maafikiano yoyote ya siri na wamekuwa wendawazimu".
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |