Mtanange wa kwanza ulipigwa kati ya Nairobi Queens na Matarumbeta, hadi mwisho wa mchezo Nairobi Queens iliibuka na ushindi wa 26-15, mchezo mwingine ulikuwa baina ya SMZ Bammata iliyovaana na Vijana, Vijana waliibuka na ushindi wa 11-9, huku Polisi ya DRC ikipata ushindi mnono wa 50-12 dhidi ya Black Mamba.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |