UEFA ilianzisha sheria ya fedha ili kudhibiti klabu kutofanya matumizi makubwa zaidi kuliko kile wanachokiingiza hali ambayo itapelekea kutumbukia kwenye janga la kiuchumi.
Kitendo cha klabu ya PSG kufanya usajili mkubwa kwa wachezaji wake wawili, Neymar iliyowagharimu pauni milioni 200 na Mbappe pauni milioni 166 kinawaweka chini ya uchunguzi wa UEFA kupitia sheria hiyo ya fedha. Madrida wamekuwa wakisaka saini ya nyota hawa kwa udi na uvumba baada ya kumuuza staa wao Cristiano Ronaldo kwenda Juventus
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |