• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: AFCON 2019: Taifa Stars kisicho riziki hakiliki, Uganda Cranes haoo Cameroon

    (GMT+08:00) 2018-11-19 08:32:21

    Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imefungwa bao 1-0 na timu ya taifa ya Lesotho katika mechi ya kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika inayotarajiwa kufanyika nchini Cameroon mwakani.

    Baada ya matokeo hayo Stars sasa inalazimika kushinda mechi yake ya mwisho dhidi ya Uganda itakayopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

    Mambo yamekwenda vizuri kwa timu ya taifa ya Uganda (Uganda the Cranes) sasa ndiyo ya kwanza kufuzu kutoka kundi L bingwa Barani Afrika AFCON, baada ya kuwashinda Cape Verde bao 1-0 uwanja wa taifa wa Nambole mjini Kampala.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako