Shirikisho la soka la Kenya (FKF) limesema halitochoka kutafuta haki, na kuwa rufaa yao bado iko wazi na kuwataka Wakenya kuwa watulivu kipindi hiki.
Mashindano ya AWCON yatatumika kuchagua wawakilishi watatu wa Bara Afrika katika Kombe la Dunia litakalofanyika nchini Ufaransa mwaka 2019.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |