Akizungumza na waandishi wa habari, katibu msaidizi wa RT Ombeni Zavala amesema kocha huyo atajikita kutoa mfunzo ya mbio fupi, za kati, miruko na mitupo.
Kocha huyo ataanza kutoa mafunzo Novemba 27 kwa walimu wa riadha kabla ya kuwafikia wanariadha ili kuhakikisha nchi hiyo itashiriki mashindano mbalimbali ya kimataifa ikiwemo Olimpiki ya Tokyo 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |