Macho yatakuwa kwa Kimetto ambaye hajamaliza mbio za kilomita 42 tangu akamilishe London Marathon nchini Uingereza katika nafasi ya tisa mwezi Aprili mwaka 2016.
Wapinzani wake wakuu ni Mkenya Asbel Kipsang' na Waethiopia Yitayal Atnafu, Seyefu Tura na Tsegaye Mekonnen.
Chepchirchir anatarajiwa kupata ushindani mkali kutoka kwa Mkenya Flomena Cheyech na Waethiopia Yebrgual Melese na Helen Tola Bekele. Rekodi ya Shanghai Marathon ya wanawake inashikiliwa na Muethiopia Tigist Tufa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |