Mamlaka za Algeria zimesema watoto 93 wa nchi mbalimbali za Afrika, wakiwemo zaidi ya 60 kutoka Niger waliosafirishwa kimagendo kwenda nchini humo na kutumiwa kama ombaomba mjini Algiers, wameokolewa kutoka wafanya magendo ya binadamu. Watoto hao wanaendelea vizuri kimwili na kisaikolojia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |