Mpango wa utawala wa Jubilee ni kupatia vijana, wanawake na walemavu asilimia 30 ya zabuni zote za serikali.
Hii ni kulingana na ripoti ya hivi karibuni iliyoandaliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma.
Ripoti ya hivi karibuni ya mwaka 2017-2018 iliyotolewa katika Bunge inaonyesha kwamba kiasi kikubwa, asilimia 23.4 ya zabuni zilipewa vijana.
Mamlaka ya udhibiti ilibainisha kuwa watu wenye ulemavu walipewa mikataba ya chini ikilinganishwa na namba na thamani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |