Mashirika ya ndege makubwa nchini wanalalamika kuhusu bei ya juu ya mafuta ambayo imeletwa na kodi kali kutoka kwa serikali.
Mashirika ya ndege miongoni mwao Kenya Airways (KQ), Fly540 na SafariLink wanadai kuwa bei ya mafuta ya ndege ingaliwe kwani kuna baadhi ya kodi ambazo hazihusiani na sekta ya ndege.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |