Hiyo ilikuwa ni mechi ya marudiano baada ya wiki iliyopita kupigwa mchezo wa kwanza jijini Nairobi na Kenya kushinda kwa goli 5-0. Kwa ushindi huo wa Kenya unafanya kuifunga timu hiyo ya Mauritius jumla ya magoli 8-1.
Timu tatu za kwanza katika michuano hiyo zitashiriki michuano ya Olimpiki itakayofanyika jiini Tokyo Japani mwaka 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |