Akizugumza na waandishi wa habari kocha msaidizi wa klabu hiyo Hassan Ramadhan Pele amesema kambi hiyo ni ya muda mfupi na kutaja jumla ya wachezaji 30 wameingia kwenye kambi hiyo ili kutengeneza umoja wa timu hiyo ambayo tayari imeshakuwa wazoefu wa mashindano ya kimataifa .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |