Mataifa hayo ni Senegal na Madagascar kundi A, Morocco na Cameroon kundi B, Kundi C ni Mali, Kundi D ni Algeria, Nigeria kundi E, Ivory Coast na Guinea zinatoka kundi H, Mauritania kundi I, Tunisia na Misri kutoka kundi J na Uganda kundi H.
Makundi G na K yako wazi, huku mechi kati ya Burundi na Gabon hapo Machi 22 mwaka 2019 nchini Burundi itakuwa kama fainali kwa sababu mshindi atajiunga na Mali katika AFCON kutoka Kundi C.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |