Amesema anajipanga kurejea kuendelea na kazi yake ya ukocha kuanzia Januari mwakani baada ya kuwa nje tangu alipoachana na Arsenal. Wenger ameiongoza Arsenal kwa miaka 22 na kupata mafanikio makubwa ikiwemo kufanikisha ujenzi wa uwanja wa Emirates pamoja na kusuka wachezaji ambao waliifanya Arsenal kuvuna pesa ndefu kwa kuwauza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |