Shughuli za kupigia kura waliotajwa kupitia mitandao ya kijamii ilianza Jumamosi Novemba 17 na itafungwa rasmi Jumapili Disemba 2 kabla ya mshindi kutangazwa rasmi Ijumaa, Disemba 14.
Mshambulizi wa Liverpool raia wa Misri Mohamed Salah ndiye alishinda tuzo hiyo mwaka wa 2017, mwaka uliomshuhudia akihama Roma ya Italia hadi ligi ya EPL na baadaye akaliongoza taifa lake kushiriki fainali ya kwanza la Kombe la Dunia tangu mwaka wa 1990.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |