Bw. Griffiths pia ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa ana nia ya kuzishawishi pande hizo mbili zinazopambana kufanya mkutano nchini Sweden. Amesema amepata uhakikisho kutoka kwa viongozi wa makundi hayo kushiriki kwenye mkutano huo.
Habari pia zinasema ndege za jeshi la muungano linaloongozwa na Saudi Arabia zimefanya mashambulizi 12 dhidi ya vituo vya waasi wa Houthi mjini Hodeidah, Yemen.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |