Cheptegei alifuatiwa kwa karibu na raia wa Eritrea Abrar Osman (42:34), raia wa Ethiopia Muktar Edris (42:55) na Mjerumani Richard Ringer (43:39) katika mbio hizo.
Uganda pia ilinyakua taji la wanawake kupitia kwa Stella Chesang (47:19) ambaye alifuatiwa sekunde chache baadaye na Mkenya Evaline Chirchir (47:35) na Mholanzi Susan Krumins (47:41).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |