Ombi hilo, limetolewa na waziri mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez wakati akiwa ziarani nchini Morocco mwanzoni mwa wiki hii.
Uhispania imewahi kuwa mwenyeji wa kombe la dunia mara moja, mwaka 1982.
Morocco imejaribu kuomba kuwa mwenyeji wa Kombe la dunia la mwaka 1994, 1998, 2006, 2010 na 2026 bila mafanikio
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |